Dear Mheshimiwa Naibu Waziri Mh. J. Shonza we have always been kool kwa sababu wote tupo Chama kimoja yaani Chama Tawala I have always respected your views lakini kwenye hili la kushirikiana na huyo "MUNGU MTU" wa hicho kituo cha Radio anayetaka Wasanii wampigie magoti ninaomba kutofautiana na wewe ...hua sio rahisi kwangu kusimama against Kiongozi yoyote wa Serikali na Chama changu in the Public lakini kwenye hili la wewe kushindana na Msanii maarufu kioo chetu cha Taifa Dunianiiani on a serious note umeshauriwa vibaya sana na naona kama unataka kurudia makosa ya waliokutangulia ya Kiongozi kuchukua side za mabifu ya kijinga na kitoto baina ya Wanajamii hasa katika our Entertainment industry ...in the first place Kiongozi wa Taifa of your level badala ya kwenda kwenye neutral ground like TBC kuongelea Wasanii uliowafungia wewe ukaenda kwa "MUNGU MTU" mwenye mabifu na Msanii maarufu Duniani Mtanzania kama wewe na mimi ambaye na yeye umefungia miziki yake huku ukijua wazi kua yule "MUNGU MTU" ana mabifu ya kufikia kufungia miziki yake kutopigwa kwenye Radio anayoifanyia kazi what was that? ni nani aliyekupa huu ushauri so shallow minded na so low? na ulikua unajaribu kutuambia nini Wanachi ambao some of us tunao uwezo wa kuona na kujua kila kitu kinachoendelea behind the scene? ..I mean WaTanzania tumeaibika sana kwenye music industry Duniani na kwa muda mrefu sana leo finally Mungu amesikia kilio chetu tuna Msanii anayetuweka kwenye ramani ya Dunia ni majuzi amechaguliwa kutengeneza Wimbo na Show ya ufunguzi katika Mashindano ya Kombe la Dunia leo wewe upo busy kupigana naye kwenye Social Media hivi sisi Wabongo what has gone wrong na our thinking? ..halafu naomba kuuliza Naibu Waziri hivi kweli ndiye anayetakiwa kufungia miziki au Basata? hivi ni kweli Naibu Waziri ndiye uliyetakiwa kuwaita kina Gigi Money na Sanchi kweli seriously kuhusu mavazi na tabia zao kama wasanii? ..I mean something is wrong mheshimiwa aidha unatumiwa bila kujijua au you are missing something but kitendo cha wewe kuungana na "MUNGU MTU" against Diamond HAKIKUBALIKI CHANGE NOW! - @lemutuz_superbrand
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments