DOKTA MANYUKI AFUFUA TUMAINI JIPYA KWA WAATHIRIKA WA VVU/UKIMWI AELEZEA MAAJABU YA DAWA MPYA YA KUTIBU VVU/UKIMWI.

Mkurugenzi wa MANYUKI HERBAL CLINIC RESEARCH(MHCR) Ndugu Hassan Rajabu Maarufu kama Dokta Manyuki anayejishughulisha na utafiti wa mitishamba na tiba mbadala ya mitishamba,Mnamo tarehe 1/4/2018 tulipata wasaa wakufanya naye mahojiano katika studio zetu za Kamanda Wa matukio zilizopo Gongo la mboto ,Kupitia mahojiano hayo Dokta Manyuki alieleza yafuatayo
Ameanza utafit
i wa mitishamba tangu mwaka 1991,akijikita zaidi katika utafiti wa ugonjwa wa HIV/UKIMWI ,Mnamo mwaka 2000 kupitia Kliniki yake yake ya MANYUKI HERBAL CLINIC RESEARCH walifanikiwa kupata fomula ambayo iliwawezesha kugundua dawa mpya ya Kupambana na Virusi Vya UKIMWI,Waliifanyia majaribio ya kutosha fomula hiyo hatimaye walipata dawa mpya aina ya HARAIVIR,Baada ya kupata matokeo mazuri kwenye majaribio  ya dawa hiyo ndipo walipoamua kuingiza sokoni rasmi kwaajili ya kusaidia watu wenye VVU/UKIMWI, HARAIVIR ni tumaini jipya kabisa la wagonjwa wa VVU/UKIMWI Kwani kwa mujibu wa Dokta Manyuki HARAIVIR Inatibu VVU/UKIMWI kwa 85% ndani ya kipindi cha miezi mitatu tu,Mtaalamu huyo aliyebobea kwenye miti shamba alisisitiza kwa kusema tumefanya tafiti kwa kipindi kirefu hatimaye tumepata jibu sahihi.
HARAIVIR NDIYO DAWA SAHIHI YA KUPAMBANA NA VVU/UKIMWI KWA 85% ASIYE IKUBALI LEO ATAIKUBALI KESHO.








Ili kuweza kupata matibabu ya HARAIVIR mgonjwa anatakiwa kuwa na vipimo vya CD4,CD8 ,VIRAL LOAD NA BLOOD PICTURE
Hii itamsaidia mgonjwa kwani kila baada ya wiki mbili au mwezi mmoja mgonjwa anashauriwa kupima ili kujua maendeleo yake kwani ndani ya kipindi cha wiki moja na nusu hadi mbili tu mgonjwa ataona matokeo ya nguvu za HARAIVIR Kwani
1.Inaongeza CD4 Haraka zaidi
2.Inapunguza CD8 Haraka zaidi,
3,Inamfanya Mgonjwa kujisikia Mwenye Nguvu.
4.Inapunguza Viral Load Haraka zaidi.
5.Inaondoa tatizo kumbukumbu kwa wale wagonjwa  walio athiriwa na VVU/UKIMWI
6.Inaondoa na kukukinga na magonjwa nyemelezi ya mara kwa mara.
 Hadi sasa HARAIVIR Imekuwa ikitumika na wagonjwa mbali mbali wa nje na ndani ya mipaka ya Tanzania.
Hivyo basi Dokta manyuki amewaasa na kuwashauri wagonjwa wanaosumbuliwa na tatizo sugu la VVU/UKIMWI kuanza kutumia dawa hiyo ili kurejea katika afya zao kama ilivyo kuwa awali,
KUANGALIA VIDEO YA DOKTA MANYUKI BONYEZA HAPO CHINI
ANGALIA DOKTA MANYUKI AKIELEZEA DAWA MPYA YA VVU/UKIMWI

KWA MAWASILIANO NA DOKTA MANYUKI PIGA NAMBA +255 787 88 61 60 

TUMIA HARAIVIR SASA NA BAADA YA KUPIMA CD4,CD8 NA VIRAL LOAD UONE MAAJABU YAKE

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.