Familia iliyomfanya mtoto wao wa kike kuwa ‘wa kiume’



Binti mmoja wa miaka 18 wa nchini Afghanistan anaripotiwa kupitia mateso kutoka kwa wazazi wake kwa miaka zaidi ya kumi sasa, baada ya wazazi hao kumlazimisha aishi kama mvulana kutokana na kukosa mtoto wa kiume.
Inaelezwa kuwa wazazi hao ambao wana watoto saba wa kike waliamua kumlazimisha mtoto wao huyo kuishi kama mvulana, kwa kumvalisha kiume na kumfanya afanye kazi za kiume kwa madai kwamba japo hawajapata mtoto wa kiume, mtoto wao huyo ndiye atakuwa wa kiume.
Wema amezungumzia Hukumu ya Masogange ‘Kila mtu na msalaba wake’
Binti huyo ambaye anajulikana kwa jina la Sitara Wafadar anaeleza kuwa baba yake anamchukulia kuwa yeye ndiye mtoto wake wa kiume mkubwa na hata wakati mwingine humtuma akamwakilishe misibani kama mvulana, jambo ambalo kwa jamii zao mshichana hawezi kufanya.
Sitara anafanya kazi na baba yake ya kufyatua matofali ili kuilisha familia yao kwa siku sita za wiki, kwa saa sita kwa siku.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.