Majonzi ya Belle 9 kwenye maziko ya Agness Masogange




Inafahamika kwamba Mwimbaji wa Bongofleva Belle 9 ndio alikua Msanii wa kwanza kumtambulisha Video Queen Agness Masogange kwenye bongofleva baada ya kufanya nae video na jina la Masogange ndio likaanzia hapo.
Belle 9 alikua miongoni mwa Mastaa waliosafiri mpaka Mbeya kumzika Agness Gerald maarufu kama Masogange ambapo alipewa nafasi ya kuongea msibani lakini majonzi yalichukua nafasi kubwa kuliko kuongea kwake

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI