Miguel Diaz-Canel rais mpya wa Cuba


cuba politicsHaki miliki ya pichaAFP
Image captionMiguel Diaz-Canel akiinuliwa mkono
Miguel Diaz-Canel amekula kiapo rasmi cha uraisi kama raisi mteule wa Cuba huku akitaja vipaumbele vyake ikiwemo ahadi ya kuendelea na mfumo wa kanda wa kikomunisti wa chama kimoja.
Katika hotuba yake ya kwanza akiwa kiongozi wa taifa hilo, Diaz-Canel ambaye awali alikuwa makamu wa raisi alitangaza uaminifu wake kwa mapinduzi na kumsifu Rais anayemaliza muda wake, Raul Castro.
Nchi hiyo ilikuwa chini ya utawala wa miongo sita na bwana Castro na kakake Fidel ambaye alijiuzulu mnamo mwaka 2008.
Katika hotuba yake ndefu, Castro amesema kwamba atasalia kama kiongoiz mkuu wa chama cha kikomunisti na pia amiri jeshi mkuu na kiongozi wa majeshi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.