Rais Magufuli avutiwa na maisha ya Dkt. Kikwete ‘nitastaafu, sitaongeza hata dakika’ (+video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa anavutiwa na maisha ya Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete kwani baada ya kustaafu anaonekana kijana zaidi na anafanya mambo makubwa ya kulitumikia taifa letu na bara la Afrika.

Rais Magufuli amesema hayo leo Aprili 11, 2018 Ikulu jijini Dar es salaam alipokuwa akiongea kwenye uzinduzi wa Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete (Jakaya Kikwete Foundation).

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI