Rais Mstaafu Zuma kufunga ndo na Binti wa miaka 24



Taarifa ambazo zinashika headlines nchini Afrika Kusini katika mitandao ya kijamii ni kumhusu aliyekuwa Rais wa Taifa hilo Jacob Zuma, ameshangaza umma baada ya kuwepo na taarifa za kutarajia kuoa mke wa 5, mwenye umri wa miaka 24.
Binti huyo anayejulikana kwa jina la Nonkanyinso Conco, kupitia chombo cha habari cha Times live cha nchini Afrika Kusini amethibitisha taarifa hizo “Ndio tunaoana, hayo ndiyo naweza kusema kwa sasa, nahitaji kutoa taarifa kabla sijafanya interview yoyote”,
Taarifa zingine zinasema binti huyo tayari ana mtoto mchanga aliyezaa na Jacob Zuma ambaye amezaliwa siku ya birthday ya Zuma, April 12, na tayari mahali imeshatolewa.



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*