Davido afanya kufuru kwenye birthday ya mpenzi wake


Staa wa muziki kutokea Nigeria Davido amechukua headlines katika mitandao ya kijamii baada ya kumzawadia mpenzi wake Chioma gari aina ya Porshe yenye gharama zaidi ya Shillingi Millioni 200 za Kitanzania katika siku yake ya kuzaliwa ambapo sherehe hiyo ilihudhuriwa na watu wengi wakiwemo mastaa mbalimbali 
Davido pia amemzawadia mpenzi wake wimbo ambao ameutunga kwa ajilli yake unaoitwa “Assurance” ambapo pia ndio plate namba ya gari hilo alilozawadiwa Chiomakatika siku yake ya kuzaliwa ya kutimiza miaka 23 iliyofanyika jana April 30,2018 Lagos Nigeria.
Billnas aongelea ishu ya kuoa mwakani

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.