Staa wa muziki kutokea Nigeria Davido amechukua headlines katika mitandao ya kijamii baada ya kumzawadia mpenzi wake Chioma gari aina ya Porshe yenye gharama zaidi ya Shillingi Millioni 200 za Kitanzania katika siku yake ya kuzaliwa ambapo sherehe hiyo ilihudhuriwa na watu wengi wakiwemo mastaa mbalimbali
Davido pia amemzawadia mpenzi wake wimbo ambao ameutunga kwa ajilli yake unaoitwa “Assurance” ambapo pia ndio plate namba ya gari hilo alilozawadiwa Chiomakatika siku yake ya kuzaliwa ya kutimiza miaka 23 iliyofanyika jana April 30,2018 Lagos Nigeria.
Billnas aongelea ishu ya kuoa mwakani
Comments