Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Jumuiya ya Kijani Tanzania (TGA), Abraham Nyantory akielezea umuhimu wa jumuiya hiyo katika kuwaendeleza wakulima nchini, wakati wa mkutano wa kukiridhia chama hicho kinachotarajiwa kusajiria hivi karibuni.
Mkutano huo uliowashirikisha wanachama wa Mtandao waKijani Kibichi Tanzania (Mkikita) na wasio wanachama, lengo lake lilikuwa ni kutangaza fursa za kujiunga nacho, Hatma ya uanachama wa Mkikita na kuelezea umuhimu wa shamba la umiliki wa pamoja la Kiwangwa lenye jumala ya heka 250.Heka moja inauzwa sh. mil 1 na kukodi kwa mwaka sh 500,000.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mkikita, Adam Ngamange akielezea jinsi ndoto yake ya kuanzisha TGA ilivyotimia na kuwaomba wanachama kuchangamkia kujiunga na chama hicho ili kusonga mbele katika maendeleo ya kilimo biashara.
"Safari yangu na Mkikita leo (jana) imeandika historia mpya kujenga misingi ya mageuzi toka kilimo njaa au kilimo uti wa mgongo kwenda kilimo uwekezaji au kilimo hisa kupitia kilimo biashara," amesema Adam na kuongeza kuwa
TGA ni njia sahihi kumilikisha huduma kwa wanachama wa Mkikita ili kuvutia mitaji na uwekezaji wa ndani na nje kwa ajili ya kuyakamata masoko ya ndani na nje ya nchini.
Mikutano kama huo imepangwa kufanyika pia siku zijazo katika mikoa ya TAanga, Morogoro, Iringa, Mbeya, Dodoma, Lindi, Mtwara , Songwe na Ruvuma.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA; 0715264202,0689425467
Wana TGA wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Mkikita.
Wakisikiliza kwa makini
Baadhi ya maofisa wa Mkikita Makao Makuu wakiwa katika mkutano huo.
Mambo yamenoga
Ni furaha iliyoje
Wakisikiliza kwa makini maendeleo ya mkutano huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Anatoglo, Mnazi Mmoja, Dar
Wadau wakichangia hoja za kuiboresha TGA
Mkurugenzi wa Masoko wa Mkikita, Deo Liganga akifafanua sababu za kuanzisha TGA.
Mkurugenzi wa Mashamba wa Mkikita, Catherine Ndamgoba akihangia hoja.
Meneja Uhusiano wa Mkikita, Neema Ngowi akielezea taratibu za kujiunga TGA na ununuzi a shamba la Kiwangwa
Mdau akiuliza swali jinsi ya kujiunga TGA
Adam akionesha moja ya vitabu vinavyotumika kumuendeleza mkulima kuingia kwenye mpango wa kilimo biashara.
Mkutano huo uliowashirikisha wanachama wa Mtandao waKijani Kibichi Tanzania (Mkikita) na wasio wanachama, lengo lake lilikuwa ni kutangaza fursa za kujiunga nacho, Hatma ya uanachama wa Mkikita na kuelezea umuhimu wa shamba la umiliki wa pamoja la Kiwangwa lenye jumala ya heka 250.Heka moja inauzwa sh. mil 1 na kukodi kwa mwaka sh 500,000.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mkikita, Adam Ngamange akielezea jinsi ndoto yake ya kuanzisha TGA ilivyotimia na kuwaomba wanachama kuchangamkia kujiunga na chama hicho ili kusonga mbele katika maendeleo ya kilimo biashara.
"Safari yangu na Mkikita leo (jana) imeandika historia mpya kujenga misingi ya mageuzi toka kilimo njaa au kilimo uti wa mgongo kwenda kilimo uwekezaji au kilimo hisa kupitia kilimo biashara," amesema Adam na kuongeza kuwa
TGA ni njia sahihi kumilikisha huduma kwa wanachama wa Mkikita ili kuvutia mitaji na uwekezaji wa ndani na nje kwa ajili ya kuyakamata masoko ya ndani na nje ya nchini.
Mikutano kama huo imepangwa kufanyika pia siku zijazo katika mikoa ya TAanga, Morogoro, Iringa, Mbeya, Dodoma, Lindi, Mtwara , Songwe na Ruvuma.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA; 0715264202,0689425467
Wana TGA wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Mkikita.
Wakisikiliza kwa makini
Baadhi ya maofisa wa Mkikita Makao Makuu wakiwa katika mkutano huo.
Mambo yamenoga
Ni furaha iliyoje
Wakisikiliza kwa makini maendeleo ya mkutano huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Anatoglo, Mnazi Mmoja, Dar
Wadau wakichangia hoja za kuiboresha TGA
Mkurugenzi wa Masoko wa Mkikita, Deo Liganga akifafanua sababu za kuanzisha TGA.
Mkurugenzi wa Mashamba wa Mkikita, Catherine Ndamgoba akihangia hoja.
Meneja Uhusiano wa Mkikita, Neema Ngowi akielezea taratibu za kujiunga TGA na ununuzi a shamba la Kiwangwa
Mdau akiuliza swali jinsi ya kujiunga TGA
Adam akionesha moja ya vitabu vinavyotumika kumuendeleza mkulima kuingia kwenye mpango wa kilimo biashara.
Comments