Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 11.05.2018


Mohammed SalahHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMohammed Salah
Mshambulijai wa Liverpool Mohamed Salah anasema kuwa hataondoka katika klabu hiyo mwisho wa msimu huu. Raia huyo wa MIsri mwenye umri wa miaka 25 amehusishwa na uhamisho wa kuelekea Real Madrid (Mirror)
Kiungo wa kati wa Ivory Coast Yaya Toure, 34, atakataa maombi kutoka China na mashariki ya kati kuendelea kucheza kwa kiasi kidogo cha fedha katika ligi ya Uingereza wakati atakapoondoka Manchester City mwisho wa msimu huu. (Mail)
Sergio Aguero
Image captionSergio Aguero
Manchester City inaongoza katika kutaka kumsajili kiungo wa kati wa Napoli Jorginho. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 raia wa Itali pia anasakwa na timu sita bora za ligi ya Uingereza.. (Times)
Atletico Madrid inataka kumsaini mshambuliaji Sergio Aguero kutoka Manchester City. Raia huyo mwenye umri wa miaka29- aliondoka Madrid 2011. (Mail)
Alvaro MorataHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionAlvaro Morata
Everton inaandaa dau la £25m kumnunua beki wa Newcastle na nahodha wake Jamaal Lascelles, 24. (Mirror)
Mkufunzi wa timu ya Uingereza Gareth Southgate anapima kumshirikisha beki wa Liverpool Trent Alexander-Arnold, 19, na winga wa Fulham Ryan Sessegnon, 17, katika kikosi chake cha wachezaji 35 cha kombe la dunia (Telegraph)
Juventus inajiandaa kuwasilisha ombi la £15m kwa klabu ya Chelsea ili kumnunua mshambuiliaji Alvaro Morata, 25, kwa mkopo. (Express)
MalcolmHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMalcolm
Liverpool inamnyatia winga wa Brazil na Bordeaux Malcom, 21. (Mail)
Klabu mpya iliopandishwa katika ligi kuu ya Uingereza Wolves imemuorodhesha wa kwanza katika usajili wake mshambuliaji wa AC Milan na Ureno Andre Silva mwisho wa msimu huu.
Andre SilvaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionAndre Silva
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 anadaiwa kugharimu £33m. (Sun)
Wolves inajiandaa kuwasilisha ombi la £30m kumsajili kipa wa Sporting Rui Patricio, 30, huku mchezaji huyo wa Ureno pia akisakwa na Napoli.(Diario de Noticias, via Birmingham Mail)
Carlos Carvahal
Image captionCarlos Carvahal
Swansea huenda ikamsajili meneja mwenye umri wa mdogo kuchukua mahala pake Carlos Carvahal baada ya ukufunzi wa Brendan Rodgers na Roberto Martinez. (Telegraph)
Mshambulaji wa Bournemouth Jermain Defoe amesema kuwa yeye mchezaji mwenza wa Uingereza Wayne Rooney walikuwa wamechoshwa na kombe la dunia la 2010 World hadi wakalazimika kutazama harusi ya Rooney katika DVD. (ESPN)
Winga wa Manchester City Leroy Sane
Image captionWinga wa Manchester City Leroy Sane
Miondoko ya densi ya Winga wa Manchester City Leroy Sane wakati wa ushindi wa kombe la ligi ilimtia wasiwasi mkufunzi Pep Guardiola, ambaye alisema kuwa kuwa aliogopeshwa na kiwango cha mchezaji huyo mwenye umri wa (Manchester Evening News)
Kipa wa Manchester City Ederson ameshinda rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupiga mpira kwa urefu wa mita 75.35 (FourFourTwo)
Kungo wa kati wa Manchester United anyestaafu Michael Carrick anasema kuwa mkufunzi Alex Ferguson alikuwa akimchezesha wakati wa mvua. (ESPN)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA