Wana wa Kiume kurithi '' kasoro za uzazi za baba''

Wavulana waliozaliwa na baba ambao wana matatizo ya kutoweza kuwafanya wanawake kutunga mimba huenda wakawa na kasoro sawa na hivyo ikilinganishwa na wenzao waliotungwa kwa njiya ya kaiwaida.
Hii ni kwa mujibu wa utafiti mpya wa afya ya uzazi. Watafiti wamesema kwamba wavulana ambao baba zao hushindwa kuwafanya wanawake kutunga mimba watarithi matatizo hayo ya kizazi.
Wanasayansi hutumia njiya ya kutoa manii ya mwanamme aliye na uchache wake na kisha kuyadunga kwenye mayai ya mwanammke ili kutunga mimba. Mbinu hii ilianzishwa miaka ya tisini.
Watafiti walifawafanyia uchunguzi wanaume waliozaliwa kwa kwa njiya ya kutoa manii ya baba zao na kudunga kwenye mayai ya mwanammke na kugundua kwamba walikua na kasoro sawa na baba zao. Kwa mujibu wa mtafiti mkuu Profesa Andre Van Steirteghem amesema hii ndiyo mara ya kwanza imebainishwa kwamba watoto wa kiume wanaweza kurithi kasoro za uzazi zilizo na baba zao.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.