MCHAKATO WA KUREJESHWA VINYONGA WETU KUTOKA NJE WAIVA+video



Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja ameelezea mchakato wa mawasiliano na nchi ambako vinyonga vilipelekwa isivyo halali ili warejeshwe nchini. Naibu Waziri Masanja amebainisha hilo, alipokuwa akiuzungumza katika mkutano na wandishi wa habari jijini Dodoma Novemba 30, 2021, kuelezea sekta ya maliasili na utalii ilikotoka, ilipo na inakoelekea pamoja na changamoto na mafanikio kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Zamaradi Kawawa (kushoto), akiwa pamoja na maafisa wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakati wa mkutano huo.
Wanahabari wakisikiliza wakati Naibu Waziri wa Maliasili na nUtalii, Masanja akizungumza.




Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Zamaradi Kawawa, akihitimisha mkutano huo aliouongoza.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Zamaradi Kawawa  akipongezana na Naibu Waziri wa  Maliasili na Utalii, Marz Masanja baada ya mkutano kumalizika.

  Naibu Waziri wa  Maliasili na Utalii, Mary Masanja  akiondoka huku akisindikizwa na Zamaradi Kawawa baada ya mkutano kumalizika.


PICHA ZOZE RICHARD MWAIKENDA 

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza  kupitia clip hii ya video, Naibu Waziri  Masanja akielezea mchakato wa vinyonga kurejeshwa nchini...

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA