WAZIRI BITEKO ATOA MAAGIZO MAKUBWA AKIZINDUA BODI YA STAMICO+video

 

WAZIRI wa Madini, Dotto Biteko akizindua Bodi ya Shirika la Madini Tanzania (STAMICO) jijini Dodoma Januari 15, 2022 na kuitaka Bodi kutumia koti la uzoefu kuwa chachu ya ubunifu wa kuliendeleza shirika hilo.
Naibu Waziri wa Madini,  Steven Kisurwa akijitambulisha wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Stamico.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Stamico, Meja Jenerali mstaafu Michael Isamuhyo. 

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Madini Tanzania STAMICO Dkt.Venance Mwasse  akitoa neno la utangulizi kuhusu utendaji wa shirika hilo.

Meneja Masoko wa Stamico, Geofrez Meena (kulia) akiwa na baadhi ya wajumbe wa Bodi na watendaji wa shirika hilo.


PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video ujue yaliyojiri katika hafla hiyo....
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 

0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA