WAZIRI wa Madini, Dotto Biteko akizindua Bodi ya Shirika la Madini Tanzania (STAMICO) jijini Dodoma Januari 15, 2022 na kuitaka Bodi kutumia koti la uzoefu kuwa chachu ya ubunifu wa kuliendeleza shirika hilo.
Naibu Waziri wa Madini, Steven Kisurwa akijitambulisha wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Stamico.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Stamico, Meja Jenerali mstaafu Michael Isamuhyo.
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Madini Tanzania STAMICO Dkt.Venance Mwasse akitoa neno la utangulizi kuhusu utendaji wa shirika hilo.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video ujue yaliyojiri katika hafla hiyo....
0754264203
Comments