KISWAGA AWATAKA WATANZANIA KUIFURAHIA BAJETI NI NZURI KWAO+video

  Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Iringa, Jackson Kiswaga amesema kuwa Bajeti ya mwaka huu ni nzuri ni mkombozi kwa wakulima.

Aidha amefurahishwa na mapinduzi makubwa kwenye miundombini ambapo barabara nyingi zitajengwa katika jimbo hilo.

Amemshukuru Rais Samia kwa kulipatia jimbo hilo fedha nyingi katika miradi mbalimbali ya maendeleona kuwataka watanzania kuifurahia bajeti hiyo.
Ameyasema leo kwenye viwanja vya bun ge jijini Dodoma mara baada ya mkutano wa Bajeti Kuu ya serikali kumalizika.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Kiswaga akielezea uzuri wa bajeti hiyo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA