JABIR MTOTO WA KITANZANIA MOTO WA KUOTEA MBALI KATIKA SOKA ULAYA, AITWA AJAX

 



Mtoto Jabir Seif mwenye umri wa miaka 15 ambaye yupo  katika Academy ya SPF Valencia nchini Spain , ameonesha kipaji chake kikubwa katika soka kiasi cha hivi sasa kuitwa kujiunga na timu ya Ajax nchini Uholanzi ambako ataungana pia na wadodo zake Tariq (13) na Barka Seif (8) ambao pia wameitwa kwenye timu hiyo kutokana na umahiri wao katika mchezo huo.

Mtoto Barka hivi karibuni akiwa na familia yake na Kocha wake Martine alitambulishwa  bungeni Dodoma.

Jabir (kulia) akiwa na wadogo zake Tareq (kushoto), Barka pamoja na babao mzazi Seif Mpanda.

Mdau, nakuomba uendelee kuona kupitia clip hii ya video, Jabir akifanya vitu vyake katika Academy ya SPF Spain....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.