SERENGETI BOYS MABINGWA WA AFCON U-17 UKANDA WA CECAFA

Timu ya Taifa ya Tanzania ya umri chini ya miaka 17, Serengeti Boys imetwaa ubingwa wa AFCON U-17 kwa ukanda wa CECAFA (TotalEnergies U17 AFCON CECAFA Qualifiers – Ethiopia 2025) kufuatia ushindi wa 3-2 dhidi ya Uganda kwenye fainali.

FAINALI:
FT: Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 3-2 πŸ‡ΊπŸ‡¬ Uganda 
⚽ 6’ Razaki Mbegelendi
⚽ 30’ Razaki Mbegelendi
⚽ 45’ Luqman Mbalasalu

⚽ 13’ Thomas Ogema
⚽ 90+6’ Brian Olwa

MSHINDI WA TATU:
FT: Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ 0-3 πŸ‡ͺπŸ‡Ή Ethiopia
⚽ 66’ Dawit Kassaw 
⚽ 79’ Biniyam Abrha
⚽ 90+3’ Biruk Eyilachew

Serengeti Boys na Uganda wanaungana na Ethiopia kama wawakilishi wa ukanda wa CECAFA kwenye michuano ya AFCON U-17 2026 huku Kenya iliyomaliza nafasi ya nne ikishindwa kufuzu.


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...