YANGA YA KWANZA KUJIUNGA NA UMOJA WA VILABU AFRIKA

Klabu ya Yanga SC Imekuwa klabu ya kwanza kujiunga na Umoja wa Vilabu Barani Afrika (ACA)

 Mabingwa hao wa Tanzania wamemaliza malipo yao ya uanachama ya $1,000, na kuwa timu ya kwanza kujiunga na mradi huu mpya wa Umoja wa Vilabu Afrika.

 ACA inawahamasisha vilabu vyote vya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza barani Afrika kujiunga na kuunda mustakabali huu wa soka la vilabu barani Afrika. 🌍⚽️

 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...