TFS NI MWIBA KWA BODABODA MBEYA, BADILIKENI - MWALUNENGE

Mbunge wa Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge amewatetea na kuwapambania bungeni waendesha bodaboda 120 ambao pikipiki zao zimekamatwa na Askari wa Wakala wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (TFS) kwa tuhuma za kusafirisha mkaa jijini Mbeya. Ameishauri Wizara ya Maliasili na Utalii badala ya TFS kuwakamata iwawezeshe kuwapa mitaji ya kufuga nyuki kwa ajili ya asali katika msitu wa Kawetele ili waache kusafirisha mkaa bali wawe wanafuga nyuki na vilevile kusaidia kuutunza msitu huo. Zaidi ya vija 300 wako tayari. Pamoja na mambo mengine,Mwalunenge ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma Mei 19, 2026.


 


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE