Mbunge wa Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge amewatetea na kuwapambania bungeni waendesha bodaboda 120 ambao pikipiki zao zimekamatwa na Askari wa Wakala wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (TFS) kwa tuhuma za kusafirisha mkaa jijini Mbeya.
Ameishauri Wizara ya Maliasili na Utalii badala ya TFS kuwakamata iwawezeshe kuwapa mitaji ya kufuga nyuki kwa ajili ya asali katika msitu wa Kawetele ili waache kusafirisha mkaa bali wawe wanafuga nyuki na vilevile kusaidia kuutunza msitu huo. Zaidi ya vija 300 wako tayari.
Pamoja na mambo mengine,Mwalunenge ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma Mei 19, 2026.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...

Comments