Msajili wa Baraza la Madaktari Tanganyika, Dkt David Mzava akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Novemba 25,2021, kuhusu uzingatiaji wa maadili ya kiutumishi kwa madaktari, madaktari wa meno na wataalamu ya shirikishi.
Aidha, Dkt Mzava amesema kuwa madaktari watakaokiuka maadili ya kiutumishi watachuliwa hatua kali ya kinidhamu na kisheria.....
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Msajili Dkt Mzava akisisitiza madaktari kuzingatia maadili ya kiutumishi wanapokuwa kazini kuwahudumia wagonjwa...
Imeandaliwa na Richard Mwaikenda0754264203
Comments