WAZIRI LUKUVI AELEZA SERIKALI ILIVYOPIGA HATUA KUBWA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI NCHINI+video

 


WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Novemba 21,2021, ambapo ameelezea tulikotoka, tulipo na tunakoelekea zikiwemo changamoto pamoja na mafanikio kwa kipindi cha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Waandishi wa habari wakiwa makini kufuatilia wakati Waziri Lukuvi akielezea changamoto na mafanikio ya wizara hiyo...







 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Waziri Lukuvi pamoja na mambo mengine akielezea jinsi serikali ilivyopata mafanikio makubwa katika utatuzi wa migogoro ya ardhi nchini....

Imeandaliwa na Richard Mwaikenda 
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.