ALIYECHAPWA BAKORA NA NDUGAI, AMPONGEZA DKT TULIA KUPITISHWA NA CCM KUWA MGOMBEA USPIKA+video

 


 Dkt Simon Ngatunga ambaye alikuwa miongoni mwa wanaCCM 69 waliochukua na kurejesha fomu za kuomba kuwania kiti cha uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameipongeza Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya chama hicho, iliyooongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan kumteua Naibu Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson kuwa mgombea wa kiti hicho.

Ngatunga ambaye alichapwa kiboko na Spika aliyejiuzulu, Job Ndugai alipokuwa akiwania naye katika kura za maoni za kuomba kuwania ubunge katika jimbo la Kongwa mwaka 2015, ametoa pongezi hizo leo jijini Dodoma.


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Dkt Ngatunga akitoa pongezi hizo.....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 

0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*