KASAKA AISIFU BAJETI IMEGUSA KILA KONA YA MIRADI YA MAENDELEO LUPA, CHUNYA+video

 Mbunge wa Jimbo la Lupa, Chunya mkoani Mbeya, Masache Kasaka akielezea kuhusu miradi mbalimbali inayotekelezwa na itakayotekelezwa katika jimbo lake baada ya Bajeti Kuu ya Serikali kupitishwa.

Kasaka ameyazungumza hayo baada ya kumalizika kwa Bunge la Bajeti katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma Juni 30, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Kasaka akielezea mafanikio makubwa ya Bajeti hii inavyokwenda kuwanufaisha wananchi wa jimbo hilo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA