MAPOKEZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU YAFANA DODOMA

 

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule akipokea Mwenye wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba tayari kuanza kukimbizwa  mkoani humo kuanzia leo Jumanne Agosti 16, 2022.

Wakati wa Mbio hizo za Mwenge kutakuwa na uwekaji mawe ya msingi, ukaguzi na uzinduzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo. 







 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*