BUNGE LAIPONGEZA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA KWA UFANISI+video




Kupitia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, Bunge limeipongeza Tume ya Haki za Binadamu na Uatawala Bora kwa utendaji mzuri wa majukumu yake. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Dkt. Joseph Mhagama wakati wa kilele cha Maadhimisho ya miaka 20 ya tume hiyo iliyoanzishwa mwaka 2002. Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Dkt Mhagama akitoa pongezi hizo....
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.