Mbunge wa Kishapu, Boniface Butondo amehoji bungeni Dodoma Septemba 21, 2022, ni kwani serikali imetenga kiasi kidogo cha sh. bilioni moja tu kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Kolandoto hadi Mwangongo?
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Butondo akionesha wasiwasi kama fedha hiyo inaweza kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203
Comments