KAMATI YA MAWAZIRI 8 YAIELEZA KAMATI YA BUNGE MAFANIKIO YA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI NCHINI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula akielezea kuhusu mafanikio ya Kamati ya Mawaziri 8 ya kutatua migogoro ya ardhi nchini wakati wa kikao na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira iliyokuwa inapokea taarifa hiyo bungeni Dodoma Septemba 8, 2022. Kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Pindi Chana.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Pindi Chana. akielezea  mambo zaidi yaliyojitokeza wakati wa uatatuzi wa migogoro hiyo na hatua wanazozichukua. Kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete.

Waziri wa Nchi, Ofisi ys Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa akisisitiza kuwepo ushirikiano baina ya wizara hizo katika utatuzi wa migogoro hiyo.

Mbunge wa Mtwara Vijijini, Hassan Mtenga akichangia hoja wakati wa kikao hicho.
Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, Shaban Shekilindi akiongoza kikao hicho.


 

Baadhi ya wabunge na maafisa wa serikali wakiwa katika kikao hicho.

PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*