LAAC: CAG FANYA UKAGUZI MAALUMU KILOSA, HESABU FEDHA ZA MIRADI 8 HAZIJULIKANI+video

 


 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Serikali za Mitaa (LAAC), imemwagiza Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi maalumu wa fedha zilizotumika kwenye miradi nane katika Halmashauri ya Kilosa. Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Seleman Zedi alipozungumza na vyombo vya habari baada ya kamati hiyo kuwahoji viongozi wa halmashauri hiyo katika kikao kilichoketi Bungeni Dodoma Septemba 6, 2022. CAG amepewa miezi mitatu kukamilisha kazi hiyo.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, ZEDI akitoa agizo hilo kwa niaba ya kamati...


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA