LAAC: AFISA MANUNUZI KUTOKA SUMBAWANGA AOKOA JAHAZI BAADA YA MAAFISA WATATU KUFARIKI TUNDUMA+video


 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Serikali za Mitaa (LAAC), Seleman Zedi akizungumza na vyombo vya habari jijini Dodoma Septemba 8, 2022, ambapo kwa niaba ya Kamati hiyo imempongeza Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Halmashairi ya Mji wa Tunduma, Songwe, kwa kufanya jitihada za kumwajiri Afisa Manunuzi (Ugavi) kutoka Sumbawanga baada ya muda mrefu nafasi hiyo kukosa mtaalamu wa sekta hiyo kutokana na vifo vya mfululizo vya maafisa ugavi watatu, lakini tangu afisa huyo ashike madaraka mambo yanakwenda vizuri.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Seleman Zedi pamoja na mambo mengine akitoa pongezi hizo kwa niaba ya kamati ya LAAC....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.