MWANYIKA AIHOJI SERIKALI NI LINI GST ITAKWENDA NJOMBE KUTAFITI MAENEO YA MADINI?+video


 Mbunge wa Njombe, Deo Mwanyika ameihoji serikali bungeni septemba 20, 2022, ni lini Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), itakwenda Njombe kutafiti maeneo ya madini?


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwanyika akihoji jambo hilo huku akijibiwa na Naibu Waziri wa Madini, Dkt Steven Kiruswa..

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*