Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson akiwa jukwaani na wabunge aliipongeza Yanga kwa ushindi wa magoli 5 dhidi ya Zalan FC ya Sudani kusini katika mechi ya Klabu Bingwa Afrika, aliomba kwa DJ uwekwe wimbo wa kuifagilia timu hiyo na kuucheza, kitendo ambacho kiliibua shangwe na vigelegele wakati wa mchapalo wa NMB Kivumbi na Jasho kwenye viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma Septemba 17,2022.Kulia ni Mwenyekiti wa Bunge Sorts Club, Tarimba Abbas.
Mdau, nakuomba uendelee kuona clip hii hapa chini, Spika na wabunge wakijimwaya mwaya kwa wimbo huo wa Yanga...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203
Comments