TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAADHIMISHA MIAKA 20 KWA KUPANDA MITI DODOMA+video

 

Wiki ya Maadhimisho ya miaka 20 ya Tume ya ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yameanza kwa matembezi ya hisani pamoja na kupanda miti eneo la wazi la Kwa Swai Nkuhungu jijini Dodoma ambapo mgeni rasmi alikuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt Khatib Kazungu ambye aliongoza pia zoezi la kupandi miti.


Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri akipanda mti eneo la Kwa SwaI nKUHUNGU.
Askari Polisi Chriter Kayombo na Edith Siwango wakihamasika kwa furaha kutokana na mirindimbo ya matarumbeta wakati wa matembezi ya hisani ya Wiki ya Maadhimisho yamiaka 20 ya  Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora jijini Dodoma Septemba 10, 2022. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
Wadau mbalimbali wakishiriki katika matembezi hayo yaliyoanzia Shule ya Msingi Kizota hadi Kwa Swai Nkuhungu.


Askari akishiriki kupanda mti.

Watoto na vijana wakishiriki kupanda miti.


Wadau mbalimbali wakishiriki kupanda miti



 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Katibu Mkuu wa Tume, Patience Mtwina, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Shekimweri, Mwenyekiti wa Tume, Jaji mstaafu Thomas Mwaimu na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt Kazungu wakizungumza baada ya kupanda miti....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI