Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uzinduzi wa Shule ya Sekondari
ya Wasichana ya Mchepuo wa Sayansi na Sanaa ya Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyopo
katika Kitongoji cha Migeregere Kata ya Rwinga, Wilaya ya Namtumbo, Mkoani
Ruvuma tarehe 27 Septemba, 2024.
Picha za Majengo ya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya
Mchepuo wa Sayansi na Sanaa ya Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyopo katika
kitongoji cha Migeregere kata ya Rwinga, Wilaya ya Namtumbo, Mkoani Ruvuma
Rais Samia akipiga picha ya kumbukumbu na wanafunzi wa shule hiyo.
baada ya shule hiyo kuzinduliwa rasmi na Rais Samia.Wanafunzi wakishangilia
Comments