BABA KATIKA FAMILIA NDIYE MWENYE MAONO NA DIRA YA FAMILIA

 Baba ndiye anayepaswa kuwa na taswira ya wapi familia inaelekea — katika masuala ya:

 - Kiuchumi (maendeleo ya mali, makazi, elimu ya watoto)

 - Kiimani (mafundisho ya kiroho, maombi, kumcha Mungu)

 - Kijamii (mshikamano, heshima na mafanikio ya kifamilia)


Uthibitisho wa Kimaandiko:

 - Waefeso 5:23 — “Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe...”

 - Mithali 29:18 — “Pasipo maono, watu hujiachilia...”

 - Mwanzo 18:19 — “Maana nimemjua Ibrahim, kwamba atawaamuru watoto wake na nyumba yake baada yake, wayashike njia za Bwana...”


Mwanaume wa kweli si yule anayetoa amri kwa sauti, bali yule anayetoa mwelekeo kwa maono.

Baba wa kweli huamka mapema kuombea familia yake, huona mbali hata watoto wake wasipoona, hujinyima ili familia iendelee.

https://www.facebook.com/share/v/191QXvU9Ev/ 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.