JK AITEKA MBALIZI

Mgombea Urais kupitia CCM Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwapungia maelfu ya wananchi wa mji wa Mbalizi baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni katika siku ya pili ya ziara yake katika mkoa wa Mbeya ili kuomba ridhaa ya wananchi ili waweze kumchagua tena katika uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 31.10.2010.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA