KARUME AMWAKILISHA JK UZINDUZI WA KATIBA KENYA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Amani Abeid Karume,akiwapungia mkono maelfu ya wananchi wa Kenya wakati alipohudhuria katika sherehe za uzinduzi wa Katiba Mpya ya Kenya katika Uwanja wa Uhuru jana.Rais Karume alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Kikwete. (PICHA NA RAMADHAN OTHMAN)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE