KARUME AMWAKILISHA JK UZINDUZI WA KATIBA KENYA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Amani Abeid Karume,akiwapungia mkono maelfu ya wananchi wa Kenya wakati alipohudhuria katika sherehe za uzinduzi wa Katiba Mpya ya Kenya katika Uwanja wa Uhuru jana.Rais Karume alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Kikwete. (PICHA NA RAMADHAN OTHMAN)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA