Msajiri wa Mahakama Rufaa Tanzania, Francis Mutungi (kushoto),Jaji Kiongozi, Fakih Jundu (kushoto), Jaji Mkuu wa Zanzibar, Hamid Mahamoud Hamid na Jaji wa Mahakama ya Rufani, Dk. Stephen Bwana (kulia) wakijadili jambo nje ya ukumbi wakati wakimsubiri Rais wa Zanzibar, Dk. Abeid Amani Karume kuwasili kwa ajili ya kufungua mkutano wa majaji wa nchi za Afrika Mashariki na Kati, kuhusu mapambano dhidi ya ugaidi katika ukanda huo na uhalifu wa kimataifa, jana uliofanyika jana katika hoteli ya Golden Tulip, Dar es Salaam

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE