Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete(kulia) akiwasalimu wakina mama pamoja na kuangalia vikundi mbalimbali vya ngoma za asili za mkoa huo Agosti 28,2010 alipowasili na kupokelewa katika uwanja wa ndege wa Mbeya ambapo.katika ziara yake Mama Salma Kikwete atakutana na wanachama wa Jumuiya ya Wanawake Mkoani Mbeya na kuzungumza nao kuhusu umuhimu wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu.Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE