Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete(kulia) akiwasalimu wakina mama pamoja na kuangalia vikundi mbalimbali vya ngoma za asili za mkoa huo Agosti 28,2010 alipowasili na kupokelewa katika uwanja wa ndege wa Mbeya ambapo.katika ziara yake Mama Salma Kikwete atakutana na wanachama wa Jumuiya ya Wanawake Mkoani Mbeya na kuzungumza nao kuhusu umuhimu wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu.Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA