RAIS KARUME AZINDUA NYUMBA YA WATOTO YATIMA ZNZ

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,akikata utepe kama ishara ya Uzinduzi wa Nyumba mpya ya watoto Yatima iliyopo Mazizini nje ya Mji wa Zanzibar,awali nyumba hiyo ya watoto yatima ilikuwepo Forodhani MjiMkongwe wa Zanzibar,(kulia)Mke wa Rais Mama Shadya Karume,mwenyekiti wa Jumuiya inayoshuhulikia mazingira na maendeleo ya vijana,ZAYEDESA.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--