RAIS KARUME AZINDUA NYUMBA YA WATOTO YATIMA ZNZ

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,akikata utepe kama ishara ya Uzinduzi wa Nyumba mpya ya watoto Yatima iliyopo Mazizini nje ya Mji wa Zanzibar,awali nyumba hiyo ya watoto yatima ilikuwepo Forodhani MjiMkongwe wa Zanzibar,(kulia)Mke wa Rais Mama Shadya Karume,mwenyekiti wa Jumuiya inayoshuhulikia mazingira na maendeleo ya vijana,ZAYEDESA.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE