VODACOM YAFUTURISHA PANGANI

Mtoto Bwaga Abdallah akipokea mfuko wa sukari kutoka kwa maofisa wa Vodacom Foundation, Grace Lyon (kulia) na Mwamvua Mlangwa (wa pili kutoka kulia) huku akisaidiwa na Sheikh Mohamed Khalili (kushoto) kutoka Tanga mjini na Sheikh Khamis Rashid Mwakilishi wa Sheikh wa Pangani (wa pili kutoka kushoto). Katika hafla hiyo iliyofanyika juzi mjini Pangani, Tanga, Vodacom Foundation pamoja na kufuturisha ilitoa pia msaada wa mchele, maharage, mafuta ya kula na vifaa vya shule.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--