VODACOM YAFUTURISHA PANGANI

Mtoto Bwaga Abdallah akipokea mfuko wa sukari kutoka kwa maofisa wa Vodacom Foundation, Grace Lyon (kulia) na Mwamvua Mlangwa (wa pili kutoka kulia) huku akisaidiwa na Sheikh Mohamed Khalili (kushoto) kutoka Tanga mjini na Sheikh Khamis Rashid Mwakilishi wa Sheikh wa Pangani (wa pili kutoka kushoto). Katika hafla hiyo iliyofanyika juzi mjini Pangani, Tanga, Vodacom Foundation pamoja na kufuturisha ilitoa pia msaada wa mchele, maharage, mafuta ya kula na vifaa vya shule.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA