VODACOM YAFUTURISHA PANGANI

Mtoto Bwaga Abdallah akipokea mfuko wa sukari kutoka kwa maofisa wa Vodacom Foundation, Grace Lyon (kulia) na Mwamvua Mlangwa (wa pili kutoka kulia) huku akisaidiwa na Sheikh Mohamed Khalili (kushoto) kutoka Tanga mjini na Sheikh Khamis Rashid Mwakilishi wa Sheikh wa Pangani (wa pili kutoka kushoto). Katika hafla hiyo iliyofanyika juzi mjini Pangani, Tanga, Vodacom Foundation pamoja na kufuturisha ilitoa pia msaada wa mchele, maharage, mafuta ya kula na vifaa vya shule.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA