AJALI YAUA 10 ARUSHA

Mmoja wa majeruhi akiwahishwa kupata tiba hospitali baada ya Gari la Abiria aina ya Toyota Hiace lenye namba za usajili T 373 BGT linalofanya safari zake katika barabara ya Moshi-Arusha, ambalo limesababisha ajali kwa kugongana na basi la Ngorika linalofanya safari za Arusha- Dar. Watu kumi walifariki katika ajali hiyo. (PICHA NA AMRI MVUNGI).
Wananchi wakiangalia ajali hiyo
Gari la Abiria aina ya Toyota Hiace lenye namba za usajili T 373 BGT linalofanya safari zake katika barabara ya Moshi-Arusha, ambalo limesababisha ajali kwa kugongana na basi la Ngorika linalofanya safari za Arusha- Dar. Watu kumi walifariki katika ajali hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--