Mgeni rasmi katika hafla ya kutimiza miaka 5 ya 8020 Fashion Blog, Mbunge wa Viti Maalum, Anjela Kairuki (kulia) akimlisha kipande cha keki mmiliki wa blogu hiyo, Shamim Mwasha, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam. (PICHA YA BLOGU YA JAMII)
Baadhi ya wadau wakiwa katika mnuso huo.
Mrs Anko akimlisha keki Shamim Mwasha
Baadhi ya wadau wakiwa katika mnuso huo.
Mrs Anko akimlisha keki Shamim Mwasha
Comments