MAFUNZO YA MICHEZO YA OLIMPIKI DAR

Mwenyekiti wa Michezo ya Olimpiki na Paralympic London 2012, Sebastian Coe ( aliyevaa fulana nyeusi katikati), akiwa katika picha ya pamoja na watoto waliopatiwa vyeti baada ya kushiriki kujifunza michezo katika mpango wa maendeleo ya michezo kimataifa London 2012 Tanzania, Dar es Salaam leo. Kulia kwake ni Mkufunzi wa Michezo, Hamad Mdee na kushoto kwake ni Rais wa Olimpiki Tanzania, Filbert Bayi na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa Michezo (BMT), Dioniz Malinzi (wa pili kulia nyuma)

Coe akionesha jinsi ya kukimbia kwenye alama ya nagazi


Sebastian Coe akienda sambamba na mwanafunzi Aika Nicholaus aliyekuwa anajifunza mbio za kuruka viunzi.

Mmoja wa wanafunzi akiruka kiunzi katika mafunzo maalum ya michezo ya riadha
Mmoja wa wanafunzi akiruka kiunzi katika mafunzo maalum ya michezo ya riadha
Coe akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi walishiriki mafunzo hayo
Mmoja wa wanafunzi akikimbia kwenye alama ya ngazi katika mafunzo maalum ya michezo ya riadha

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA