MAFUNZO YA MICHEZO YA OLIMPIKI DAR

Mwenyekiti wa Michezo ya Olimpiki na Paralympic London 2012, Sebastian Coe ( aliyevaa fulana nyeusi katikati), akiwa katika picha ya pamoja na watoto waliopatiwa vyeti baada ya kushiriki kujifunza michezo katika mpango wa maendeleo ya michezo kimataifa London 2012 Tanzania, Dar es Salaam leo. Kulia kwake ni Mkufunzi wa Michezo, Hamad Mdee na kushoto kwake ni Rais wa Olimpiki Tanzania, Filbert Bayi na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa Michezo (BMT), Dioniz Malinzi (wa pili kulia nyuma)

Coe akionesha jinsi ya kukimbia kwenye alama ya nagazi


Sebastian Coe akienda sambamba na mwanafunzi Aika Nicholaus aliyekuwa anajifunza mbio za kuruka viunzi.

Mmoja wa wanafunzi akiruka kiunzi katika mafunzo maalum ya michezo ya riadha
Mmoja wa wanafunzi akiruka kiunzi katika mafunzo maalum ya michezo ya riadha
Coe akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi walishiriki mafunzo hayo
Mmoja wa wanafunzi akikimbia kwenye alama ya ngazi katika mafunzo maalum ya michezo ya riadha

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA