TAMASHA LA TIGO LA KUFUNGUA MWAKA LAFANA

 Sehemu ya umati wa wapenzi wa muziki wa kizazi kipya ukishuhudia tamashala Tigo la Tabasamu la kufungua mwaka lililofanyika jana kwenye ufukwe wa Coco Dar es Salaam.
 Wasanii wa kundi la Tip Top Connection, wakifanya maajabu yao jukwaani. Kushoto ni Deso Mlawa na Hamad Ali 'Madew'.
 Baadhi ya vijana wapenzi wa muziki wa kizazi kipya wakiwa juu ya mti ili waone vizuri tamasha hilo
Mteja Rashid Rehani, akionesha simu aliyozawadiwa na Tigo, baada ya kujiunga na Tigo Pesa wakati wa tamasha hilo.
 Msanii wa kizazi kipya wa kundi la TMK Wanaume Halisi, Juma Kassim 'Juma Nature' akilishambulia jukwaa wakati wa Tamasha la Tigo la Tabasamu la kufungua mwaka kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay, Dar es Salaam.
 Msanii Jumanne Omari 'JB ' akighani wakati wa tamasha hilo lililovutia watu lukuki
Msanii mtoto Dogo Lila (8) akifanya vitu vyake jukwaani

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI