WAFANYAKAZI WA TBL WASHIRIKI UPIMAJI WA HIARI WA VIRUSI VYA UKIMWI

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bi. Tereza Mbando (katikati), akiwasha mshumaa kuzindua zoezi la kupima virusi vya ukimwi kwa hiari kwa wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam kuadhimisha siku ya Ukimwi duniani. Kulia ni Meneja Raslimali watu wa kampuni hiyo, Bw. David Mafuru.
 Muuguzi Mshauri wa kupima maambukizi ya Virusi vya Ukimwi, Bi. Aulelia Kunambi, akimpima Meneja Raslimali Watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. David Mafuru (kulia), wakati wa zoezi maalumu la kupima Ukimwi kwa hiari kwa wafanyakazi wa Kampuni hiyo, Dar es Salaam juzi.

 Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakiwasha mishumaa baada ya kushiriki katika zoezi la kupima ukimwi kwa hiari, wakati wakiadhimisha siku ya Ukimwi Duniani.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakiwasha mishumaa baada ya kushiriki katika zoezi la kupima ukimwi kwa hiari, wakati wakiadhimisha siku ya Ukimwi Duniani.
Wasanii wa kundi la THT wakitoa burudani kwa wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania TBL, wakati wa zoezi la kupima virusi vya ukimwi kwa wafanyakazi wa kampuni hiyo, Dar es Salaam

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

HATUNA TISHIO LA USALAMA MWANZA, HAKUNA WA KUJITANGAZIA JAMHURI YAO - RC MTANDA