Rais wa Zanzibar Dkt.Shein Kuzindua Miradi Mitano ya Barabara Kisiwani Pembe kesho.


Moja ya Barabara kisiwani Pemba ya Mtambwe inayotarajiwa kuzinduliwa kesho na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,
Mambo ya Miundombinu ya Barabara Kisiwani Pemba imekuwa ni ukombozi kwa Wananchi wa maeneo mbalimbali kurahisisha usafiri na kusafirisha mazao yao kwa urahisin hadi sokoni.

Mwananchi wa Bwagamoyo kisiwani Pemba akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na kukamilika kwa barabara yao ya Mtambwe imerahisisha usafiri na kuwa na uhakika wa usafiri katika kijiji hicho tafauti na hapo nyuma barabara hii ilikuwa ni mtihani kwa wakazi waKijiji hichi.








Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA