MWIMBAJI WA KIMATAIFA WA NYIMBO ZA INJILI KEKE LETSO PHOOFOLO AWASILI DAR KWA AJILI YA TAMASHA LA PASAKA

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha la Pasaka, Alex Msama akipeana mkono na mwimbaji wa kimataifa wa nyimbo za injili kutoka Afrika ya Kusini, Kekeletso Phoofolo mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo, kwa ajili ya tamasha la Pasaka litakaloanza kutimua vumbi kwenye Uwanja wa taifa leo. 
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama (kulia), akiwa na mwimbaji wa Kimataifa wa nyimbo za injili kutoka Afrika ya Kusini, Kekeletso Phoofolo mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam leo, kwa ajili ya tamasha la Pasaka litakaloanza kutimua vumbi kwenye Uwanja wa taifa Jumapili. 
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha la Pasaka, Alex Msama akipeana mkono na mwimbaji wa kimataifa wa nyimbo za injili kutoka Afrika ya Kusini, Kekeletso Phoofolo mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimatifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya tamasha la Pasaka litakaloanza kutimua vumbi Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa.  
Mwimbaji wa kimataifa wa nyimbo za injili kutoka Afrika Kusini, Kekeletso Phoofolo (kushoto), akiimba kwa hisia moja ya nyimbo zake mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya tamasha la Pasaka.
 Kekeletso Phoofolo akisalimiana na mke wa Msama.
 Kekeletso Phoofolo akisalimiana na mke wa Msama.
 Mwimbaji wa Kimataifa kutoka Afrika Kusini, Keke Letso Phoofolo (wa pili kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promosheni, Alex Msama (kulia).
  Mwimbaji wa Kimataifa kutoka Afrika Kusini, Keke Letso Phoofolo akiwa katika picha ya pamoja na waimbaji wake pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msam,a Promosheni, Alex Msama (kulia).
Waimbaji wa nyimbo za injili wakiwa katika picha ya pamoja pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promosheni, Alex Msama. (wa nne kulia).
 Mwimbaji wa kimataifa wa nyimbo za injili kutoka Afrika Kusini, Kekeletso Phoofolo (kushoto), akiimba kwa hisia moja ya nyimbo zake mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya tamasha la Pasaka.
Baadhi ya waimbaji wakiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kiamataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA