SIMBA SC NA SINGIDA UNITED KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA


Mshambuliaji wa Simba, Danny Lyanga akimtoka beki wa Singida United katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 5-1
Danny Lyanga akiwatoka mabeki wa Singida United jana Uwanja wa Taifa
Beki wa Simba, Emery Nimubona akimuacha chini beki wa Singida United baada ya kupanda kusaidia mashambulizi
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa Singida
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Sigida United katika mchezo wa jana Uwanja wa Taifa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NILIYOYABAINI KATIKA TRENI YA SGR DAR ,MORO HADI DODOMA … KADOGOSA REKEBISHENI MAMBO HAYA MTANIKUMBUKA

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--