MAPOKEZI YA YANGA LEO UWANJA WA NDEGE, NYOMI LA KUFA MTU!


Mashabiki wa Yanga 'wakimgombania' kipa wa timu yao, Deo Munishi 'Dida' wakati timu ilipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam mchana wa leo kutoka Angola ambako iliwatoa wenyeji Sagrada Esparanca mjini Dundo juzi kwa ushindi wa jumla wa 2-1 baada ya kushinda 2-0 nyumbani na kufungwa 1-0 juzi ugenini, hivyo kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika

Dida akiwaonyesha ishara ya upendo mashabiki wa Yanga baada ya kutoka nje ya JNIA
Nahodha Nadir Haroub Cannavaro akitoka ndani ya JNIA kuelekea kwenye basi
Kiungo kutoka Rwanda, Haruna Niyonzima akitoka ndani ya JNIA kuelekea kwenye basi
Mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma akitoka ndani ya JNIA kuelekea kwenye basi
Beki Vincent Bossou kutoka Togo akitoka ndani ya JNIA kuelekea kwenye basi
Mashabiki wa Yanga wakiliongoza basi la wachezaji wao kuelekea makao makuu ya klabu, Jangwani
Mashabiki wa Yanga wakaifuaria kwa shangwe mbele ya basi la wachezaji wao likielekea Jangwani
Kiungo Mzimbabwe, Thabani Kamusoko akielekea kwenye basi baada ya kutoka nje ya JNIA 
Shabiki huyu alidandia kwenye kioo cha basi ili awapongeze wachezaji wa timu yake

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI