MUHONGO ATAKA SERA YA MAAFA IBORESHWE


Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ametoa ushauri juu ya:

(i) uboreshaji wa sera yetu ya maafa
(ii) upatikanaji wa ajira nchi za nje

Mbunge huyo amesema ajira za nje ya nchi zetu ni bidhaa mpya Duniani ambayo mwaka jana (2024) ilikuwa ya thamani ya USD bilioni 905.

Tafadhali msikilize Prof Muhongo kutoka kwenye CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa.

Ofisi ya Mbunge 
Jimbo la Musoma Vijijini 
www.musomavijijini.or.tz 

P. O. Box 6
Musoma

Tarehe:

Jumatatu, 14 April 2025



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

BREAKING NEWS | MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFARIKI DUNIA

SHEREHE ZA DKT. CHANDE KUSIMIKWA UASKOFU MKUU KANISA LA KARMELI ZAFANA

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA

ASKOFU CHANDE ATOA MSAADA WA MAZIWA, AWAOMBEA WATOTO NJITI

YANGA YACHINJA NG'OMBE 20 ZA PILAU TABORA