IPO SIKU UTAJUTIA MAMBO HAYA


1. Kutokaa na familia yako kwa muda wa kutosha.
2. Kupuuzia mambo yahusuyo afya yako.
3. Kung'ang'ania mahusiano mabaya.
4. Kuchelewa kuwekeza pesa zako au kutowekeza kabisa.
5. Kuwaza sana wengine wanakuonaje.
6. Kutofuata ndoto zako.
7. Kufanya kazi sana na kutofurahia maisha.
8. Kuwa na vinyongo.
9. Kutosafiri wakati fursa ilikuwepo.
10. Kutojifunza ujuzi fulani au kujifunza kisha kutoufanyia kazi.
11. Kudhani kwamba bado una muda mwingi mbele yako.
12. Kutoomba msamaha ulipokosea
13. Kuruhusu kiburi chako kikuharibie mahusiano.
14. Kukata tamaa mapema.
15. Kuahirisha kumfanyia mtu jambo jema ulilokusudia.
16. Kuahirisha mambo kwa kusubiri wakati sahihi
17. Kumpuuza mtu anayekupenda.
18. Kuishi kwa kuwafurahisha wengine huku wewe ukididimia.
19. Kujua ukweli kisha unauficha
Habari na matukio Wasafi TV Binti Kigoma Xiaomi Tanzania Dorah Tz



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

RAIS SAMIA AMUONDOLEA POLEPOLE HADHI YA UBALOZI

RAIS WA BURKINA FASO ATANGAZA DIRA YA KUUNDA MUUNGANO WA MATAIFA YA AFRIKA (UNITED STATES OF AFRICA).

AINA YA WANAWAKE AMBAO MWANAUME AKIOA NIVIGUMU KUFANIKIWA